Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
/watch/gP9ye7QajQQay/watch/Y9mrg7gbcsMbr
@salimharrasy7047منذ 4 سنواتPanahitajika tahadhari sana. Na ufanywe mfumo wa kuwatafuta kitaalam. Anajulikana chatu anapenda mizoga. Wategwe kwa kutumia mizoga. id="hidden1" class="buttons"> Chatu anapenda kuzonga wanyama wadogo na watoto wadogo. Likitokea hilo kama hamna silaha. Kimbilieni kwenye mdomo wake vuteni chini na juu mlaini sana mara unachanika. Ingawa si rahisi kumpata sehemu ya kichwa huwa anajizonga. ....وسعت5
@
@aishanassor8130منذ 4 سنواتSubhana Allah , Allah atusalim salama. Jukumu lipo kwa jamii na serikali. Kwanza serekali itoe dawa ya kutoshaa kumwaga ktk msitu huo ya kuuwa wadudu hatar id="hidden2" class="buttons"> km hao. Thn wafuate wanajamii wa kijini hcho waungane kwa pmj na kufyeka msitu wte. Wanajamii wataweza kufyeka msitu pindi wakiamni usalama wa maisha yao utakuwepo baada ya dawa kumwaga ktk maeneo hyo. Me nasema hvi kwa sbb nipo nje na chuo nnachosoma kiko maeneo ya shamba kbsa ambpo kabla ya kufunguliwa hki chuo ilikua tu ni poriiii so wadudu wakubwa km hao ilikua ni weng sana sambamba na nyoka lkn kila baada ya muda wanamwaga dawa na Alhamdulillah mpk sasa na In sha Allah iendelee hvi haijawah kutokea madhara yyte ....وسعت1
@leylaaliy9852منذ 4 سنواتMh mtihani kuishi kwa hofu na michatu hio Allah awahihifadhi 11
@
@alihemed7721منذ 4 سنواتMh mtihani ila kama pana mapango hapo na wanaonekana ni wakumbwa hivo bs hapo wapo tena wengi serekali na wanachi wajitolee ili kuwaondoa wadudu kama hao 5
@
@masoudyrashidy9041منذ 4 سنواتPoleni sana jamani kwa kweli ni mtihani Allah atatusaidia 1
@
@issaali1321منذ 4 سنواتNi mtihani mkubwa lkn tujue kuwa hayo. Maeneo chatu wapo assilia. Sasa binaadamu wamevamia lazima tujue kuwa hii dinia sio yetu peke yetu tusheee na viumbe wengine. Miaka ya nyuma ndio ilikuwa makaazi yao jamaani. 4
@
@africanchocolate4216منذ 4 سنواتMnge waita wachina wange mchukue na kwenda kutengeneza kitoweo safi sana ! Tena nasikia wana sema ni mtamu sana kwa chai ☕️ delicious
@
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477منذ 4 سنواتMuwe na tahadhari kubwa sana hasa wakt wa uck wasijekuleta madhara na watoto pia musiwaachie kuzurura humo kwenye vichaka mungu atawahifadhi inshallah
@rasykizanjbari4996منذ 4 سنواتToba mimi tena hapo ningekaa kwa hofu nahic km atapanda juu ya nyumba yngu au mvunguni maana inatisha hiyo sehemu 2
@
@stonetown578منذ 4 سنواتMwitu mkubwa sana fyekeni kabla athari haikuzidi. 1
@
@mussakiziyzi408منذ 4 سنواتMmmh Hio ni neema kubwa ya kitoweo ktk maeneo yenu Nasema mumebarikiwa
@
@husnatgamaah1335منذ 4 سنواتaiseee nilivyo muoga ningehama huko siku hiyo uwiiih
@
@harounali485منذ 4 سنواتUshauri wangu ni tumieni mbwa wa usasi au wa police kuwa tafuta makaazi yao. Mbwa wana uwezo wa kunusa na ku gunduwa walipo. 1
@
@awadhirajabu7754منذ 4 سنواتKwakua Nyoka Ni Adui Kwetu Binadamu Nisawa Kabisa Kumuua Hata Mungu Alitupa Ruusa Ya Kuwatwanga Nyoka Mpige Kichwani Isipokua Nawe Binadamu Atakung'ata Kisigino Chako Nyoka Sio Mdudu Mwema Kamwe
@
@ummulkurthumabeid2914منذ 4 سنواتDuh hili sio la lishapea mtihn huu anwenza kula mtu jmn tuwe makini
@
@afropanorama4730منذ 4 سنواتwapo kwenye makaazi yao.sisi binadam ndo tunawafuata kwenye mazingira ya kwa kisingizio cha kujenga
@
@dr.ajeyfemed5895منذ 4 سنواتKwann watu wa mali asili na wizara husika wasifanye animal control kuwataftia sehem wakawapelela kuliko kuwauwa kuna visiwa havikai watu zanzibar wapelekwe huko Tunawahitaji hao wanyama 6
@
@asrymohd6690منذ 4 سنواتHuu mwaka kiboko January jamaa kasema hajui mwezgani
@
@suleimanmazrui6942منذ 4 سنواتHao nyoka nirafiki sana Bora muwaogope CCM. 1
@
@husnatgamaah1335منذ 4 سنواتkwa vichaka hivyo lazima wawe wengi jipangen mpunguze hayo majani na mamiti yasiyo na msingi
@
@sabrinaislam4200منذ 4 سنواتMdhirikiane wenyewe sio kila kitu serekali
@
@MahmoudAli-uk8ciمنذ 4 سنواتPelekeni china biashara hio pesa nnje nje
@
@naimamwambe8083منذ 4 سنواتJamaa Ngosha untuangusha kwa nini usiwaite wa China watawatawavuna wote
@
@osmanha6915منذ 4 سنواتSinunui tena kiwanja huko kaeni na machatu yenu
@
@muhammedabdalla5496منذ 4 سنواتNi nyumban huko nasikitika kusikia ivyoo nawaombea kwa mungu awanusuru na wadudu wabaya km hao jp saiv sipo visiwan kwetu ila kisauni ni nyumban skuli yake ndio nilio soma toka la kwanza mkimbia kwao mtumwa
@
@amourmtungo623منذ 4 سنواتNa ndio maana nilisema wangeitwa wataalamu kwa ajili ya kuwahifadhi. Chatu hana mwendo wa kasi kama nyoka. Binaadamu tuna akili zaidi ya chatu kwahio sio rahisi kutoroka kama wamehifadhiwa vizuri.
@
@saidismailhamad3229منذ 4 سنواتPumbavu serekali iache kazi ije kuua nyoka so si ata kwa bakoratu unauaa kila ktu eti serikali Kuna Mambo yakuita serikali Ila sio nyoka pekeangu naua ata afike futi 30
@
@dr.ajeyfemed5895منذ 4 سنواتIshu ni animal control ilisimsmievwaondoshwe sio kuwapiga silaha waende wahamishwe maeneo mengine 1
@tumabhay8576منذ 4 سنواتKila kt serikali kwani wananchi wa eneo hilo hawawezi kushirikiana na kufanya usafi na kuwauwa au kupelekwa sehemu husika. Mambo mengine mepec si lazima serikali jamani.
@
@IlhaamMarshedمنذ 4 سنواتDuh Mimi naogopa jamn anaeogopa km mm subscribe kwenye youtube channel yng 3
@
@rukiamohammed5031منذ 4 سنواتMji umezungukwa na vichaka mno fyeken vichaka hivyo kukiwa hakuna hivyo vichaka hamta ona mdudu yoyote wa Aina hiyo daah mji utafikiri hawakai watu sa serikal iwasaidie nn Zaid ya nyie kujiongeza polen pia daah nimeogopa
@
@amourmtungo623منذ 4 سنواتIlikuwa ni muhimu kuwaita wataalam kwasababu ni muhimu kwa makumbusho na kwa hifadhi ya hao chatu kwa sote watalii na kizazi kijacho. Chatu hana sumu ila id="hidden13" class="buttons"> kula kwao kwa kipindi kitaalam huitwa “hibernation”. Maana yake mlo wao mmoja huchukua miezi mingi kabla hawajawa na njaa tena. Ni adimu kumbaka mwanadamu sana hupenda panya, paa na wanyama wa rahisi kupatikana. ....وسعت1
Na ufanywe mfumo wa kuwatafuta kitaalam.
Anajulikana chatu anapenda mizoga. Wategwe kwa kutumia mizoga. id="hidden1" class="buttons">
Chatu anapenda kuzonga wanyama wadogo na watoto wadogo.
Likitokea hilo kama hamna silaha.
Kimbilieni kwenye mdomo wake vuteni chini na juu mlaini sana mara unachanika.
Ingawa si rahisi kumpata sehemu ya kichwa huwa anajizonga. ....وسعت 5
Me nasema hvi kwa sbb nipo nje na chuo nnachosoma kiko maeneo ya shamba kbsa ambpo kabla ya kufunguliwa hki chuo ilikua tu ni poriiii so wadudu wakubwa km hao ilikua ni weng sana sambamba na nyoka lkn kila baada ya muda wanamwaga dawa na Alhamdulillah mpk sasa na In sha Allah iendelee hvi haijawah kutokea madhara yyte ....وسعت 1
Hio ni neema kubwa ya kitoweo ktk maeneo yenu
Nasema mumebarikiwa
Mbwa wana uwezo wa kunusa na ku gunduwa walipo. 1
Tunawahitaji hao wanyama 6