المدة الزمنية 26:31

Wachezaji wote wa Simba walivyotambulishwa kwenye tamasha la 'Simba Day 2018'

بواسطة Azam TV
1 610 633 مشاهدة
0
4.2 K
تم نشره في 2018/08/08

Klabu ya Simba leo imewatambulisha wachezaji wake wote mbele ya mashabiki wa timu hiyo kwenye tamasha kubwa ambalo hufanyika Agost 8 ya kila mwaka. Tamasha hilo limefanyika kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam, katika sherehe ambazo zimeambatana na mchezo wa kirafiki kati dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana. Aliyesimamia kazi ya kuwatambulisha wachezaji hao, ni Msemaji wa timu hiyo, Haji Manara.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 426
  • @
    @abdullahnassor9433منذ 5 سنوات I can't imagine the love and support from funs 11
  • @
    @oxyrio1224منذ 6 سنوات i love thi manara is so passionate to.his job 7
  • @
    @isunga1964منذ 5 سنوات Hivi kuna mtu yupo hapa 2019 nasubilia kesho tarehe 6 Simba oyee 23
  • @
    @mnzavachris5423منذ 6 سنوات tuliambiwa Chama atakuwa mchezaji wa mwisho kutambulishwa imekuaje?
    Mgeni rasmi alipaswa kuwa W/Mkuu ilikuaje?
    Kwa jopo hilo mazee, ingawa id="hidden1" class="buttons"> sawa dunia imebadilika kuwa na pesa ndo mpango mzima tulimuhitaji MO kweli??
    Nahisi angefanyiwa namna kwenda saidia timu zile zenye uwezo mdogo kabisa angepewa hata 2/3 kabx ligi kuwa ya ushindani zaidi..ila kwa hilo NYOMI tungepaswa kuwa mbali sana kimaendeleo kama klabu ila ndoivo acha nifanye cjaona maana nikiangalia upande wa majirani wao ndo kaka zetu na ni mwaka 1 tu ila pameparanganyika hatar..heshima kwenu viongozi kuwaaminisha watu kujaa na kurejesha imani baada ya misimu karibia 3 kuwa twaonewa tu hakika vyura sijui kama hata mashabiki wao wasingekuwa wamejiuzulu saiv.
    ....وسعت 6
  • @
    @elizaatilio527منذ 5 سنوات Mackin Dida, Kaheza, Ahsante Kwasi, Salamba mbwembwe zoteeee zile wako wapiiii saiv 9
  • @
    @iddimalifedha8163منذ 4 سنوات 2020 lock down tunacheki now like zetu 10
  • @
    @ramamambo4082منذ 6 سنوات Manara nmn unavyoongea unahamaxixha xanaaa ad raha. THIX ix Ximba 15
  • @
    @mariapialakanje3446منذ 3 سنوات This is simba napenda sana Timu langu Simba❤️ 1
  • @
    @allykazoa7065منذ 6 سنوات Haji manara wewe kweli ni msemaji bora katika nchi hii umejua kusherehesha sana 8
  • @
    @bmaloo8864منذ 6 سنوات Huyu Jamaa Anajua Sn kuongea na kuwahamasisha wa2 Anafaa kupewa Cheo hichi,Yanga wanatakiwa Wamuajili ht Joti kazi inamfaa Sn baada y Jerry Muro hawana msemaji w mn 8
  • @
    @josephngenohsangaya8479منذ 6 سنوات Kweli mambo n moto,Simba mnyama,hongera sana Manara 6
  • @
    @tullomengele902منذ 6 سنوات Hata Mimi nitaichezea simba inshaallah. 1
  • @
    @alexsulle9683منذ 6 سنوات mm yanga didah nakupenda hatari uko vizuri bro kuza kipaji 19
  • @
    @marylulufocus2970منذ 6 سنوات daah huu utambulisho sio wa kitoto yan nmecheka jaman 7
  • @
    @mariapialakanje3446منذ 3 سنوات Manara haki napenda unavyoongea na kutambulisha vixuri safii sanaa ❤️❤️
  • @
    @shangwefisima3993منذ 5 سنوات Jaman Okwi tulimzoea mrudisheni pliz.katoka mbali na Simba daah 2
  • @
    @asha_homedecorationsمنذ 6 سنوات Yani manara wewe ni shidaaa ni zaidi ya burudani ndani ya simbaaaaaaa this is simbaaaaaaaa 67
  • @
    @emmanuelalphaxard9276منذ 5 سنوات Mm shabiki wa yanga naomba manara nisogeze simba Niko radhi kusema ya watembeza bakuri 3
  • @
    @unstoppableclassic9145منذ 5 سنوات Dah! Nimekubali cimba ni chama la wana THIS IS SIMBA 7
  • @
    @kamagakamaga6652منذ 5 سنوات Mimi yanga ila nampenda sana manara kwa uhamasishaji wake 2
  • @
    @neemamwaimu7040منذ 6 سنوات Simbaaa rahaaa jamaniila umri wa wachezaji nao mmmm..na niyonzima jaman 8
  • @
    @jacquelinekanikile7258منذ 6 سنوات utaipenda! utaifurahia! kwa burudani motro na stress remover 1
  • @
    @queenlizy837منذ 4 سنوات Simba kila anayemla humchukua ili akamle vizurii 1
  • @
    @mariapialakanje3446منذ 3 سنوات Hki Tz nxima Simba ndo yenye Mashabiki wengi kuliko Timu zotee , duhu Tzama umati wa watu hpoo 1
  • @
    @moseswilliam1854منذ 6 سنوات manara sikukuelewa hapa kuhusu chama ila sasa nimekuelewa kwa hizi mbwembwe nimeona mkuu 18
  • @
    @ibnmoses979منذ 6 سنوات Huu umri utakuwa wa kucheza mpira na sio wa kuzaliwa
    haji ni fundi wa uhamasishaji sio Simba tu bali ligi kuu Tanzania
    9
  • @
    @chrispinsyrucsyruc3141منذ 5 سنوات Manara huna kizuizi katka ushereheshaji hakuna wa kukufikia ase 4
  • @
    @alexjeremia7686منذ 5 سنوات Tuache masihalla manara anajua hadi anakera sasa 3
  • @
    @NgelaTZمنذ 6 سنوات Kwangu mm manara ndiye brand ya simba angekuwa spoken person wa tanzania kwa mtanzamo Wang anafaa 4
  • @
    @stephanomchenya6344منذ 6 سنوات Hv kwel masud mmemfukuza mmekosea sana 8
  • @
    @BontamLeeمنذ 6 سنوات Ndio mechi pekee ya kirafiki Africa,iliyoingiza mashabiki wengi kuliko zote. 2
  • @
    @sadaleonard6898منذ 3 سنوات Haitokuja kutokea kumpata msemaji kama haji manala kwanza anavutia sisiju nimpe sifa gani tena ❤
  • @
    @issaomary9520منذ 6 سنوات Jamani tuacheni masiara mimi Azam lakini leo nakiri simba ina mashabiki wengi kuriko Tim nyingine hapo TZ huo ndio ukweri, 147
  • @
    @mipawandilizu8783منذ 4 سنوات Kuwa mshabiki wa Simba, ni raha sana Moyoni! Raha ajabu.,,,
  • @
    @marwasalvatory1610منذ 6 سنوات This is simba brother
    De Le boss
    4
  • @
    @chiponda4579منذ 6 سنوات simbaaaaaaaaaaa. namuona azam pekee ndo mshindani wetu 1
  • @
    @godwinbenedict4146منذ 6 سنوات THIS IS SIMBAA..WAVIMBA MACHO ROHO ZINAWAUMAAAAA 37
  • @
    @stevenmaketa8051منذ 6 سنوات Ndio kwanza tunaanza kudadadadadeeeeki maiming huuuu mtakoomaa hakiamungu hiindoosiiimba bwana a mpak Mw's hiki WA aondoke maradarakan kaaz mnaayooo 11
  • @
    @victordaniel8614منذ 6 سنوات jaman ko okwi miaka inarud nyuma okw toka miaka ya 2010 tunaamjua Leo mseemee ,26 huo n uongo kbs 6
  • @
    @kavisheemanoela4648منذ 6 سنوات This is simbaaa, raha xnaaaa, penda xn chama lnguuu 13
  • @
    @romanrobinyo4311منذ 6 سنوات THIS IS SIMBA, JAMANI WATU 65000, DAR HATALI 35
  • @
    @florianmwaibabile5308منذ 5 سنوات Hakika hakuna Mwenyezi bora tz kama manara ni zaidi ya mwenezi ni fire 3
  • @
    @immanuelmapunda5650منذ 4 سنوات Uyooo mwarabu ulivyomtambulisha jamaniii dah
  • @
    @BontamLeeمنذ 6 سنوات Simba sio Tanzania tu,bali Africka mashariki ndio timu yenye washabiki weñgi,ushahidi ni huu. 8
  • @
    @hanifahozza84منذ 5 سنوات Nakubali sana chama lanngu
    THIS IS SIMBAAA
  • @
    @mgishaorsicarionsipirian6940منذ 5 سنوات Daaah!!! Nan anasema hana mashabiki wengi mwenye macho ahabiwi tazma na mwenye masikio = ? Mbishi jibu ubalo 2
  • @
    @abubakarikimia4763منذ 2 سنوات Simba sport wakitambulisha wachezji 2020
  • @
    @neemagewe717منذ 4 سنوات Simba ni momaa jamani Ila Simba kiboko yao jamani hakuna mashabiki wengi kma Simbaaaaaaa
  • @
    @abdulramadhan981منذ 6 سنوات Kama umegundua miaka sio ya kweli gonga like hapa 9