المدة الزمنية 5:3

MJENGO WA DR. MPANGO KIJIJINI UGENI ULIVYOMIMINIKA KISA PONGEZI, ASKARI KUWEKA FAMILIA ENEO SALAMA

بواسطة Millard Ayo
283 562 مشاهدة
0
1.3 K
تم نشره في 2021/03/31

Kutoka kijijini Kasumo Wilayani buhigwe Kigoma kijijini kwao na Dkt Mpango Makamu wa Rais Mteule wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nakukutanisha na Dada yake ambae hapa anaeleza jinsi wageni walivyofurika nyumbani kwa Mbunge wao kutoa pongezi lakini pia Jeshi la Polisi walifika kutazama usalama wa familia ya Dkt Mpango.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 261