المدة الزمنية 7:10

MBATIA AICHANA HOTUBA YAKE, ASEMA HOTUBA ZILIZOTOLEWA NA WADAU NDIYO MSIMAMO WA NCCR- MAGEUZI

بواسطة Mwananchi Digital
6 311 مشاهدة
0
19
تم نشره في 2020/08/07

Mara baada ya kuwasikiliza wadau wa siasa asasi za akiraa, taasisi za dini na viongozi wa siasa, Mwenyekiti wa Vhama cha NCCR MAGEUZI James Mbatia aliamua kuacha kusoma hotuba yake kwa taifa akieleza kuwa yale yote yaliyozungumzwa na viongozi waliotangulia ndio msimamo wa chama chake kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 33