@miltonwilliam3298منذ 3 سنواتOkwi ni mhimu ndani ya chama maana mafanikio yake yanajulikana awapo kundini. Lakini pia club bingwa inahitaji watu wenye busara kama okwi na water bwalya. 1
@
@musasolomonbomani4258منذ 3 سنواتMbona wanasema juma shabani ameenda yanga Kelli naitwa musa solomoni kutoka singida mkalama
@
@evansmanyili580منذ 3 سنواتAchen mambo ya ajabu nyie waandishi kama Hanna cha kutuambia in bora mwe kimya tyu, ni kitu gani kakisema apo okwi kama sio porojo nyingi tyu za kwako, upuuzi tyu
@
@francesmkude8503منذ 3 سنواتNjoooo kaka tupara Raha Zaid mpaka utopolo waone gere
@
@mamamama2657منذ 3 سنواتRudi Hujakatazwa Uje Na Ronaldo Messi Neymer Ili Mwakani Mlete Kombe La Afrika
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Sikia Alichosema Emmanuel Okwi Baada Ya Kusajiliwa tena Na simbaMJIANDAE WANAMSIMBAZI,NARUDI TENA: