المدة الزمنية 1:13

Zuma aanza kutumikia kifungo jela

بواسطة DW Kiswahili
1 925 مشاهدة
0
10
تم نشره في 2021/07/08

Baada ya kujaribu kukwepa mkono wa sheria kwa wiki kadhaa, rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma amejisalimisha mwenyewe kuanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani kwa kuipuuza mahakama.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2