Fally Ipupa wa inchini Congo amethibitisha kutua jijini Dar es salaam nchini Tanzania Hivi Karibuni,mwaka huu 2021,Fally ameonekana pamoja na bossi wa kituo cha Redio cha #cloudsfm ndugu Joseph Kusaga ,nchini Dubai.
hata hivyo #Fallyipupa amechukua wasaa kuwathibitishia mashabiki wake wa nchini Tanzania juu ya ujio wake huo kupitia post aliyouweka kwenye #instastory yake.
Tazama hapa #chimaburudani #cmtv
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 11
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Fally Ipupa wa nchini Congo athibitisha Kutua Dar Tanzania 2021: