المدة الزمنية 2:12

Fally Ipupa wa nchini Congo athibitisha Kutua Dar Tanzania 2021

بواسطة GRaM Media
5 964 مشاهدة
0
171
تم نشره في 2021/04/14

Fally Ipupa wa inchini Congo amethibitisha kutua jijini Dar es salaam nchini Tanzania Hivi Karibuni,mwaka huu 2021,Fally ameonekana pamoja na bossi wa kituo cha Redio cha #cloudsfm ndugu Joseph Kusaga ,nchini Dubai. hata hivyo #Fallyipupa amechukua wasaa kuwathibitishia mashabiki wake wa nchini Tanzania juu ya ujio wake huo kupitia post aliyouweka kwenye #instastory yake. Tazama hapa #chimaburudani #cmtv

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 11