المدة الزمنية 9:42

2019 MWANAFUNZI ALIYE ONGOZA MATOKEO YA DARASA LA SABA MKOANI MBEYA NA KUSHIKA NAFASI YA 8 KITAIF

بواسطة JPN Tv
6 631 مشاهدة
0
46
تم نشره في 2019/10/20

Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza kiwilaya (RUNGWE) ,kimkoa (MBEYA) na kashika nafasi ya nane KITAIFA,Kutoka shule ya GODS BRIDGE ENGLISH MEDIUM. Mwanafunzi huyu alieleza siri kubwa ya mafanikio yake na huku akimshukuru Mwenyezi Mungu kwa nafasi aliyo ipata,Lakini pia aliwashukuru waalim pamoja na wazaza na walezi walio fanya jitihada za kuhakikiksha anafika alipofika. Pia waalim walieleza mengi ya msingi yanayo ifanya shule hiyo kufanya vizuri. Piana mkurugenzi wa shule hiyo alieleza kuwa umoja,na mshikamano ndio daraja kuu la mafanikio waliyo weza kuyapata katika vipindi vya takribani miaka 4 kwa mfurulizo

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 6