المدة الزمنية 16:39

DIAMOND AMKABIDHI PESA MZEE ABDULL / UG0MVI PEMBENI KWANZA

بواسطة Mbengo Tv
359 281 مشاهدة
0
2.4 K
تم نشره في 2021/07/15

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 463
  • @
    @mikemuchene2045منذ 3 سنوات You are a blessing to your children yours or not yours. God bless mzee Abdul. 1
  • @
    @iam-joebwirekenya2070منذ 3 سنوات DIAMOND ATAKUJA JUTA! VITU HIVI NI VYA DUNIA..TUTAVIACHA TU..WANGAPI WANAKUBALI? GIVE IT A LIKE IF YOU AGREE 39
  • @
    @jacklineamisi763منذ 2 سنوات This guy is a gentle man He is so kind and humble ..May God bless Him
  • @
    @saidfhamadمنذ 3 سنوات Huyu mzee anaongea kama Diamond kabisa pia mimi naona kama wanafanana vileeee !!!! 94
  • @
    @wardaibrahim8208منذ 3 سنوات Papa u have Gold heart MashaAllah Tena una imani Allah hakupe Long life 24
  • @
    @cabitotoke4161منذ 3 سنوات Mzee mungu nawe Kila wakati from Kenya 11
  • @
    @shabanikamsawa181منذ 3 سنوات Anaongea kiume na kibusara sana na ndiyo maana wachawi wengi ni wanawake maana ndiyo wanao ongoza kwa roho mbaya na kupandikiza chuki huwa hawa semi mabaya id="hidden1" class="buttons"> yao ila ni hodar wa kusimulia mabaya ya kina baba ila ya kwao wanayakalia ila kwa baba hawezi kumlopekea mtoto mama yako Ali Fanya hivi na hivi kwa vile kidume ni MTU wa kuhifazi vitu moyoni cyo MTU wa kuropoka na kuoayuka kina mama badilikeni muwe mnasema na yakwenu hata kama ni ya aibu maana ndiyo mnataka kuanika ya ndani ....وسعت
  • @
    @roselynestua7095منذ 3 سنوات Mungu amubariki diamond kwale amefanya mungu asiti kumwinuwa mimi ni mukenya 1
  • @
    @saidalguhum1996منذ 3 سنوات Mzee Abdul Wallahi wewe ni mtu mbele yawatu una busara sana na subra kweli juu ya yote anayo kufanyia Mwanao Daimond lakini bado wampenda na hujamsema id="hidden2" class="buttons"> kwa vibaya. Lakini wajuwe Mungu si Athmani malipo ni hapa Mungu akuweke Amin Amin.From Mombasa Kenya ....وسعت 16
  • @
    @aamrchoabula8226منذ 2 سنوات Kirakitu kinakuwa kwenyemupango wamungu kwahio usijali 1day Mungu atakulipilia from south african 1
  • @
    @ummyremmy1797منذ 3 سنوات Mwenye amegundua Kua mzee Abdul anaongea kwa uchungu ila anajikaza tu.gonga like twende sote 22
  • @
    @salamanauthartanzania6301منذ 3 سنوات Unazo busara nyingi sana Mzee Abdul ALLAH Akujaze Kheri na baraka nyingi 3
  • @
    @boionemkenyaofficial8822منذ 3 سنوات Jamanie huyu Mzee ni mzuri sana Tena mwenywe ❤️❤️ na heshima kweli nampenda sana huyu Mzee Mungu atakupa tuu papa. 56
  • @
    @videlialabeka4899منذ 3 سنوات Mzee kubali the Diamond Ana maisha yake.usitarajie akupee Kila kitu..shukuru tu
  • @
    @marywanyika2658منذ 3 سنوات Mzee Abdul ana roho nzuri sana Mungu ampe uhai na blessings 1
  • @
    @khadijacastro2851منذ 3 سنوات Hyu Mzee nampendagha sana anabusara sana mawaidha mzuri 1
  • @
    @personcriticalthinking7162منذ 3 سنوات Asante sana diamond ubarikiwe sana. Sasa nimekupenda kabisaa bila doubt. 2
  • @
    @habibamahamed5587منذ 3 سنوات mungu akuweke na akuzidishie lmani jamani mzee Abduli inshallah 11
  • @
    @swahumathumani2636منذ 3 سنوات Mungu akupe Kila lenye kheri
    Ipo siku ya taisha Inshallah.
    1
  • @
    @jayvan2390منذ 3 سنوات Mzee anapenda kujishusha Sana " nimependa Sana" 17
  • @
    @salumlibaba9500منذ 3 سنوات Km umesikia ss ndio wanyamwezi wakanza gonga like hp 13
  • @
    @hadijagunda9113منذ 3 سنوات Mzee huyo mwanao bana anakufanana mno yani copy yako kabisa hiyo nasebu ni wako 33
  • @
    @shaibushaibu1950منذ 2 سنوات Kila kitu myangulize mungu hatajibu mzee hata hivo nakupongeza Huwa humejireza vizur na unaenderea vema
  • @
    @laymashabani832منذ 3 سنوات ❤️❤️❤️ Mwenyezi mungu atakufanyia wepesi baba Insha'Allah 6
  • @
    @edge6016منذ 2 سنوات Mzee Abdul muogope Allah kuva chain kwa Shinzo kwa mwanaume ni haramu Allah akuongoze
  • @
    @elishasamson77منذ 3 سنوات Ubarikiwe mzee kumsamehe mwanao kesho cyo leo na leo cyo kesho
  • @
    @raydhanselemanseleman8439منذ 3 سنوات Daah mzee diamond ni mwanao kabisa maana mna fanana sana 2
  • @
    @hellacredis5555منذ 3 سنوات Nampenda sana mzee,,hapatawahi tokea kama yeye, tangia nimjue huyu Babu Tifa sijawahi mkinai,Jembeeeee 1
  • @
    @danneismail5442منذ 3 سنوات Mshaanza tena kumsumbua huyu mzee na stress za mtoto atulie 23
  • @
    @sakinaabdallah7713منذ 3 سنوات Amin ishaallah diamond atakurudia ishaallah 6
  • @
    @naimafaiz5274منذ 3 سنوات Mungu akupa subar kuna siku yatakwisha from kenya 66
  • @
    @D-Man.B-Freeمنذ 3 سنوات Daaah,nimemuelewa kinoma kuhusu ukukaa na wazazi lazma usafiri mbali Afu ukirudi watakushangilia 6
  • @
    @victoriadaizy5277منذ 3 سنوات K mziwanda you never disappoint ulisema lazima nayonayo
  • @
    @kadulathumani7517منذ 2 سنوات Mzee Abdul Utakuwa mfano mkubwa kwa wazazi na watoto. You are very humble. Mmungu akupe umri mrefu na subira zaidi. Mali tutaziacha hapa lakini amali njema ndio za maisha ya baadae.
  • @
    @damianjeremia3821منذ 3 سنوات Mbona sauti na ongea ni Diamond kabisa kuna nini hapo 20
  • @
    @giftmsokele9776منذ 3 سنوات ❤ eti watoto wengine wakike wakomonisti mzee huyu bhana
  • @
    @ningekuwambunge820منذ 3 سنوات Mungu akusimamie Mzee wetu. Malipo yako Mwenyezi Mungu ameshakuandalia. Ila ongea ya huyu Mzee na ya Diamond ni copy! Kuna uwezekano mama alipagawa tu na Mali lkn ninaendelea kuamini huyu ni Baba mzazi wa Diamond. 2
  • @
    @beedward5133منذ 3 سنوات Da,
    Hata kama huna macho,
    Huwez ata kupapasa ukajua huyu Ni mzee wake mond kwel!!!!!
    6
  • @
    @ismailmenza6705منذ 2 سنوات Mzee anabusara sana chamsingi Nasbu ajue baba atabaki kuwa baba pesa isimfanye akufuru wazazi
  • @
    @stanlaymsabaha4038منذ 3 سنوات Kama umesikia mtu mlezi gonga like twende sawa 8
  • @
    @marinojenaro7045منذ 3 سنوات mm nadhan siku za,mwisho zinakaribia eeeeh mungu tunusuru wanao haiwezekani mtoto amkatae inauma sana mzee anafanana sana na.mond baba mungu akupe wepec na uvumilivu dunia itawafundish siku ataukuja kukupgia goti
  • @
    @starfordalex4139منذ 3 سنوات Huyu ndiyo Baba Diamond hata akimkataa haisaidii. Wanafanana saana 2
  • @
    @carolinemusimbi9232منذ 3 سنوات Huyu mzee ni mzuri saa nyingine wanamchemsha tu
  • @
    @tatuhamza9187منذ 3 سنوات Huy ni mwanae kabsa wamefanana sanaa unajua
  • @
    @lucksonemmanuel7039منذ 3 سنوات Mzee ana madini Sana busara ni zaidi ya Mali ishi Sana mzee
  • @
    @jeromekanyoro9800منذ 3 سنوات Mungu atuwekeee siku nyingi, tuwatunze wazazi wetu 2
  • @
    @suleimanjokoroمنذ 3 سنوات Pesa haiwezi kununua kila kitu!(Hilo lifahamike) 6
  • @
    @ramadhanjuma1077منذ 3 سنوات Diamond na huyu mzee abdur ni damu moja
  • @
    @iddibakari2354منذ 3 سنوات Diamond, now you are grown-up. Huyu ndio baba yako. Whatever be, hata kama kasoro za wazazi ni kawaida kwani NDIO mwanzo wa maisha bora ! Hata kama mama id="hidden6" class="buttons"> ameolewa kwengine bado ana haja ya kuweka pembeni tofauti na kuwa familia moja, NDIO utu mwanangu Nasieb. Life's going on.keep it up. ....وسعت
  • @
    @miriammutuku5059منذ 3 سنوات Baba usife moyo mungu yu nawe, yaani nimelia tuu kunaye mungu aliye Hai, malipo ni hapa tuu 2
  • @
    @juliusmwinga4051منذ 3 سنوات Mzee amejaa busara na nitajiri wa roho safi.
    Mungu akubariki sana.
  • @
    @isackpaul8536منذ 3 سنوات Hakika wanaume wengi tuna Maamuzi ya busara hususani kwa swala Zima LA kuwa na subra,huyu Mzee ana ushauri mzuri kwa Diamond hususani nyakati Kama hizi za ushindani wa kimziki. big up sana mzee 23
  • @
    @husseintv1840منذ 3 سنوات Mzee nakupnda sana uko n hofu ya MUNGU 17
  • @
    @bakarimpilipili8876منذ 3 سنوات So Sad father
    But I love your wisdom gonna pay U.
    1
  • @
    @d.a.t3383منذ 3 سنوات Well said Mzee Mali inabaki watu wayeyaaaa 1
  • @
    @faizahkewush8831منذ 3 سنوات Mzee wasema kweli, hio bykoko bado yavunja Record 1
  • @
    @eppiemodestمنذ 3 سنوات Ana busara sana mzee Abdul. Mama Dangote ndiye kavuruga yote hayo mpaka familia imesambaratika. 8
  • @
    @agnesmwikali539منذ 3 سنوات Huyu mzae anafanana na diamond kabisa,nikiwa diamond nikujifanyiza DNA. Na huyu mzae 1
  • @
    @julianapetro3897منذ 2 سنوات Afuu huyu baba ni kichwa anaakili sana
  • @
    @sammaisak7503منذ 3 سنوات Hilo Komo Kama la Dai na mashavu ya kutumbukia ni Diamond kabisaa.. huyo Nyange maybe wanahusiana lakini Huyu ndio Baba 8
  • @
    @sadamwaka6460منذ 3 سنوات Huyu mzee ni mwanaume na nusu aiseeeeeee.Ana roho nzuri Sana .pia Ana Akili sana.mungu azidi kumpa ujasiri
  • @
    @wanjirujane5824منذ 2 سنوات damondi ataafanyeje uyo ndobabake mzazi mwenyewe