@mikemuchene2045منذ 3 سنواتYou are a blessing to your children yours or not yours. God bless mzee Abdul. 1
@
@iam-joebwirekenya2070منذ 3 سنواتDIAMOND ATAKUJA JUTA! VITU HIVI NI VYA DUNIA..TUTAVIACHA TU..WANGAPI WANAKUBALI? GIVE IT A LIKE IF YOU AGREE 39
@
@jacklineamisi763منذ 2 سنواتThis guy is a gentle man He is so kind and humble ..May God bless Him
@
@saidfhamadمنذ 3 سنواتHuyu mzee anaongea kama Diamond kabisa pia mimi naona kama wanafanana vileeee !!!! 94
@
@wardaibrahim8208منذ 3 سنواتPapa u have Gold heart MashaAllah Tena una imani Allah hakupe Long life 24
@
@cabitotoke4161منذ 3 سنواتMzee mungu nawe Kila wakati from Kenya 11
@
@shabanikamsawa181منذ 3 سنواتAnaongea kiume na kibusara sana na ndiyo maana wachawi wengi ni wanawake maana ndiyo wanao ongoza kwa roho mbaya na kupandikiza chuki huwa hawa semi mabaya id="hidden1" class="buttons"> yao ila ni hodar wa kusimulia mabaya ya kina baba ila ya kwao wanayakalia ila kwa baba hawezi kumlopekea mtoto mama yako Ali Fanya hivi na hivi kwa vile kidume ni MTU wa kuhifazi vitu moyoni cyo MTU wa kuropoka na kuoayuka kina mama badilikeni muwe mnasema na yakwenu hata kama ni ya aibu maana ndiyo mnataka kuanika ya ndani ....وسعت
@
@roselynestua7095منذ 3 سنواتMungu amubariki diamond kwale amefanya mungu asiti kumwinuwa mimi ni mukenya 1
@
@saidalguhum1996منذ 3 سنواتMzee Abdul Wallahi wewe ni mtu mbele yawatu una busara sana na subra kweli juu ya yote anayo kufanyia Mwanao Daimond lakini bado wampenda na hujamsema id="hidden2" class="buttons"> kwa vibaya. Lakini wajuwe Mungu si Athmani malipo ni hapa Mungu akuweke Amin Amin.From Mombasa Kenya ....وسعت16
@
@aamrchoabula8226منذ 2 سنواتKirakitu kinakuwa kwenyemupango wamungu kwahio usijali 1day Mungu atakulipilia from south african 1
@
@ummyremmy1797منذ 3 سنواتMwenye amegundua Kua mzee Abdul anaongea kwa uchungu ila anajikaza tu.gonga like twende sote 22
@
@salamanauthartanzania6301منذ 3 سنواتUnazo busara nyingi sana Mzee Abdul ALLAH Akujaze Kheri na baraka nyingi 3
@
@boionemkenyaofficial8822منذ 3 سنواتJamanie huyu Mzee ni mzuri sana Tena mwenywe ❤️❤️ na heshima kweli nampenda sana huyu Mzee Mungu atakupa tuu papa. 56
@
@videlialabeka4899منذ 3 سنواتMzee kubali the Diamond Ana maisha yake.usitarajie akupee Kila kitu..shukuru tu
@
@marywanyika2658منذ 3 سنواتMzee Abdul ana roho nzuri sana Mungu ampe uhai na blessings 1
@
@khadijacastro2851منذ 3 سنواتHyu Mzee nampendagha sana anabusara sana mawaidha mzuri 1
@
@personcriticalthinking7162منذ 3 سنواتAsante sana diamond ubarikiwe sana. Sasa nimekupenda kabisaa bila doubt. 2
@naimafaiz5274منذ 3 سنواتMungu akupa subar kuna siku yatakwisha from kenya 66
@
@D-Man.B-Freeمنذ 3 سنواتDaaah,nimemuelewa kinoma kuhusu ukukaa na wazazi lazma usafiri mbali Afu ukirudi watakushangilia 6
@
@victoriadaizy5277منذ 3 سنواتK mziwanda you never disappoint ulisema lazima nayonayo
@
@kadulathumani7517منذ 2 سنواتMzee Abdul Utakuwa mfano mkubwa kwa wazazi na watoto. You are very humble. Mmungu akupe umri mrefu na subira zaidi. Mali tutaziacha hapa lakini amali njema ndio za maisha ya baadae.
@
@damianjeremia3821منذ 3 سنواتMbona sauti na ongea ni Diamond kabisa kuna nini hapo 20
@
@giftmsokele9776منذ 3 سنوات❤ eti watoto wengine wakike wakomonisti mzee huyu bhana
@
@ningekuwambunge820منذ 3 سنواتMungu akusimamie Mzee wetu. Malipo yako Mwenyezi Mungu ameshakuandalia. Ila ongea ya huyu Mzee na ya Diamond ni copy! Kuna uwezekano mama alipagawa tu na Mali lkn ninaendelea kuamini huyu ni Baba mzazi wa Diamond. 2
@
@beedward5133منذ 3 سنواتDa, Hata kama huna macho, Huwez ata kupapasa ukajua huyu Ni mzee wake mond kwel!!!!! 6
@
@ismailmenza6705منذ 2 سنواتMzee anabusara sana chamsingi Nasbu ajue baba atabaki kuwa baba pesa isimfanye akufuru wazazi
@
@stanlaymsabaha4038منذ 3 سنواتKama umesikia mtu mlezi gonga like twende sawa 8
@
@marinojenaro7045منذ 3 سنواتmm nadhan siku za,mwisho zinakaribia eeeeh mungu tunusuru wanao haiwezekani mtoto amkatae inauma sana mzee anafanana sana na.mond baba mungu akupe wepec na uvumilivu dunia itawafundish siku ataukuja kukupgia goti
@
@starfordalex4139منذ 3 سنواتHuyu ndiyo Baba Diamond hata akimkataa haisaidii. Wanafanana saana 2
@
@carolinemusimbi9232منذ 3 سنواتHuyu mzee ni mzuri saa nyingine wanamchemsha tu
@
@tatuhamza9187منذ 3 سنواتHuy ni mwanae kabsa wamefanana sanaa unajua
@
@lucksonemmanuel7039منذ 3 سنواتMzee ana madini Sana busara ni zaidi ya Mali ishi Sana mzee
@
@jeromekanyoro9800منذ 3 سنواتMungu atuwekeee siku nyingi, tuwatunze wazazi wetu 2
@
@suleimanjokoroمنذ 3 سنواتPesa haiwezi kununua kila kitu!(Hilo lifahamike) 6
@
@ramadhanjuma1077منذ 3 سنواتDiamond na huyu mzee abdur ni damu moja
@
@iddibakari2354منذ 3 سنواتDiamond, now you are grown-up. Huyu ndio baba yako. Whatever be, hata kama kasoro za wazazi ni kawaida kwani NDIO mwanzo wa maisha bora ! Hata kama mama id="hidden6" class="buttons"> ameolewa kwengine bado ana haja ya kuweka pembeni tofauti na kuwa familia moja, NDIO utu mwanangu Nasieb. Life's going on.keep it up. ....وسعت
@
@miriammutuku5059منذ 3 سنواتBaba usife moyo mungu yu nawe, yaani nimelia tuu kunaye mungu aliye Hai, malipo ni hapa tuu 2
@
@juliusmwinga4051منذ 3 سنواتMzee amejaa busara na nitajiri wa roho safi. Mungu akubariki sana.
@
@isackpaul8536منذ 3 سنواتHakika wanaume wengi tuna Maamuzi ya busara hususani kwa swala Zima LA kuwa na subra,huyu Mzee ana ushauri mzuri kwa Diamond hususani nyakati Kama hizi za ushindani wa kimziki. big up sana mzee 23
@
@husseintv1840منذ 3 سنواتMzee nakupnda sana uko n hofu ya MUNGU 17
@
@bakarimpilipili8876منذ 3 سنواتSo Sad father But I love your wisdom gonna pay U. 1
@
@d.a.t3383منذ 3 سنواتWell said Mzee Mali inabaki watu wayeyaaaa 1
@
@faizahkewush8831منذ 3 سنواتMzee wasema kweli, hio bykoko bado yavunja Record 1
@
@eppiemodestمنذ 3 سنواتAna busara sana mzee Abdul. Mama Dangote ndiye kavuruga yote hayo mpaka familia imesambaratika. 8
@
@agnesmwikali539منذ 3 سنواتHuyu mzae anafanana na diamond kabisa,nikiwa diamond nikujifanyiza DNA. Na huyu mzae 1
@
@julianapetro3897منذ 2 سنواتAfuu huyu baba ni kichwa anaakili sana
@
@sammaisak7503منذ 3 سنواتHilo Komo Kama la Dai na mashavu ya kutumbukia ni Diamond kabisaa.. huyo Nyange maybe wanahusiana lakini Huyu ndio Baba 8
@
@sadamwaka6460منذ 3 سنواتHuyu mzee ni mwanaume na nusu aiseeeeeee.Ana roho nzuri Sana .pia Ana Akili sana.mungu azidi kumpa ujasiri
Ipo siku ya taisha Inshallah. 1
Hata kama huna macho,
Huwez ata kupapasa ukajua huyu Ni mzee wake mond kwel!!!!! 6
Mungu akubariki sana.
But I love your wisdom gonna pay U. 1