المدة الزمنية 19:20

BREAKING: WAZIRI MPANGO AMWAGA MACHOZI NILIFIKISHWA HOSPITALI NA MTUNGI WA OKSIJENI

بواسطة MwanaHALISI TV
11 850 مشاهدة
0
56
تم نشره في 2021/02/23

"Siku 14 nilizokuwa nahudumiwa nyumbani na baadaye madaktari wakaamua kunihamishia hapa (Hospitali ya Benjamin Mkapa-Dodoma), tumtukuze Mungu, mwacheni aitwe Mungu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi nyingine" ni kauli ya Dk. Philip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka hospitali. 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402), 🔘WhatsApp ( +255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 49