المدة الزمنية 2:57

Zuchu jukwaani kwa Rais Samia, apewa bahasha mkononi

بواسطة Mwananchi Digital
3 600 مشاهدة
0
27
تم نشره في 2021/06/15

Mara baada ya kumaliza kutumbuiza katika jukwaa la wasanii, msanii wa Bongo fleva Zuchu aliitwa katika jukwaa kuu ambapo aliweza kisalimiana na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 4